Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 23, 2010

Vichaa

Vichaa walipelekwa kwenye bwawa la kuogelea lisilo na maji wakaambiwa waingie waogelee! Woote wakaingia isipokuwa wawili, wakaulizwa mbona nyie hamuingii kuogelea?

Wa kwanza akajibu ''ntaingiaje wakati hamjanipa chupi ya kuogelea.''
Wa pili akajibu ''mimi mpaka mkinipa boya la kuelea ndo ntaingia.''

No comments:

Post a Comment