Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, October 27, 2010

Pesa bank

Mmasai mmoja alienda bank kuweka hela, alipofika baada ya kuweka akasema "siweki tena pesa yangu bank" Jamaa mmoja akamuuliza "kwa nini?." Mmasai akajibu "metoka weka pesa bank mtu mwingine kazichukua, eti wanasema pesa yangu imebaki kwa karatasi."

No comments:

Post a Comment