Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, October 27, 2010

Jambazi

Jambazi mmoja mkuu akiwauliza wenzake "nani yupo tayari kuvuna pesa?"
Wale majambazi wadogo wakajibu "sisii"
Akawauliza tena, "Je mpo tayari kwa kazi hiyo?"
Wakajibu "ndio"
Akawauliza tena "mpo tayari kufa?"
Wakajibu "ndiooo"
Mmoja wa wale wadogo akauliza "samahani uliza swali la mwisho tena?"

No comments:

Post a Comment