Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, October 19, 2010

Somo la Historia

Mwalimu mmoja wakati anafundisha somo la historia darasani akatamka ''natamani ningekuwa nimeishi miaka 1000 iliyopita''

Mwalimu akamuuliza, ''kwa nini?''
Mwanafunzi akajibu ''nisingekua nalisoma hili somo sasa?''

No comments:

Post a Comment