Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, October 8, 2010

Mboga

Wasukuma walienda kumtembelea mkwe wao, wakaletewa viazi nyama. Maongezi yao yakawa hivi:
Msukuma wa kwanza: Tumeenda kwa mke wa K si akaturetea mboga tupu.
Jamaa anaesimuliwa akanena: Kwa nini?
Msukuma akajibu: Si hatukuona ugari.

No comments:

Post a Comment