Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, October 25, 2010

Kiwembe

''Dokta mwanangu amemeza kiwembe naomba msaada wako'' Baba akiongea kwenye simu.
Dokta ''okey nakuja, umechukua hatua gani mpaka sasa?''
Baba, ''nimeamua kunyoa kwa kutumia mashine ya umeme badala yake''

No comments:

Post a Comment