Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 23, 2010

Kuokota

Jamaa wawili wakisimuliana jambo:
Kijana wa kwanza: Jana nlikua natembea njiani nkaokota wallet ila bahati mbaya ndani ilikuwa empty!
Kijana wa pili: Mimi pia jana hiyo hiyo nliokota sidiria ya mwanamke ila bahati mbaya ilikuwa empty pia ndani.

No comments:

Post a Comment