Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, October 14, 2010

Jani

Mtoto mmoja alienda na mama yake kwenye makumbusho ya picha na sanamu mbalimbali. Punde akaona Sanamu moja ikiwa uchi kasoro sehemu nyeti ikiwa imefunikwa na jani la sanamu na lenyewe, mama yake akamuuliza ''mbona hautokia hapo?''

Mtoto akajibu, ''nasubiri hili jani lianguke''

No comments:

Post a Comment