Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, October 12, 2010

Kupima macho

Jamaa mmojaalienda kupima macho, wakati yupo kwa daktari akavishwa lenzi ili aweze kusoma maandishi madogo yaliopo kwenye ubao:

Dokta: Haya soma haya maandishi yaliyopo kwenye huu ubao.
Mgonjwa: Ubao gani dokta?

No comments:

Post a Comment