Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 16, 2010

Kutoroka

Wafungwa wawili walipanga njama za kutoroka:
mfungwa wa kwanza: Tufanye hivi tukifika pale getini si kuna ukuta? Halafu tunapanda na kuruka.
Mfungwa wa pili: Anha! Tuchimbe chini kwa chini ndio.......!

Wakaamua wachukua choice one, walipofika eneo la geti kubwa mmoja kati yao akasema ''shenzi kumbe hamna ukuta!!''

No comments:

Post a Comment