Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 16, 2010

Ugonjwa wa kusahau

Mwanamke: Dokta nimekuja nna tatizo, mume wangu ana tatizo la kusahau sana.
Dokta: Ooh! Nini dalili za hilo tatizo alilo nalo?
Mwanamke: Akiona mwanamke mzuri tu anasahau kua ameshaoa!

No comments:

Post a Comment