Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, October 19, 2010

Jeneza

Siku moja tajiri mmoja alikufa na kutengenezewa jeneza la ukweli (thamani sana). Alipozikwa tu usiku wake kibaka akajitosa kufukua na kutoka nalo na kumzika bila jeneza.

Nje kwenye geti akakutana na askari waliokua doria.

Askari: Wewe unafanya nini huku? Unazika watu usiku? Na hilo Jeneza umelibeba kwa nini?
Kibaka: Nimewaambia ndugu zangu nataka kuzikwa Ilala wao wamenizika Kinondoni, nimeamua kwenda mwenyewe kutoka.
Polisi walilala mbele (walikimbia wote).

No comments:

Post a Comment