Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, October 28, 2010

Baloon

Mzee mmoja alipanda baloon (puto kuubwa la kuelea hewani), baada ya kuwa hewani kwa dakika kadhaa akawa hajui yupo wapi.

Akalishusha kidogo toka hewani, kicha akamuuliza kijana mmoja ''samahani eti hapa nipo wapi?''
Kijana akajibu ''ooh! Upo kwenye baloon, mita chache toka kwenye ardhi!''

No comments:

Post a Comment