Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, October 5, 2010

Pombe bwana

Jamaa mmoja alirudi kwake, alipofika sebuleni akawa analigonga gonga lile bwawa dogo la kioo la kufugia samaki. Mkewe akamuuliza ''unafanya niniz?'' Jamaa akajibu ''nawazuia hawa samaki wasinibwakie (kama mbwa)''

No comments:

Post a Comment