Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, October 1, 2010

Wizi

Mama mmoja aliambiwa mwanae ameuwawa kwa sababu ya wizi akajibu hivi, "maskini Tarimo alikua anafanya kazi ya ujambazi akiniletea pesa za kuishi, sasa hiyo kazi ya wizi ameanza lini tena?"

No comments:

Post a Comment