Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, October 17, 2010

Ajali

Dereva mmoja alimgonga mwanamke mmoja barabarani. Wakati anaulizwa hali ikawa hivi:
Raia wa kawaida: Sasa hapa nani mwenye makosa?
Dereva akajibu: Mwanamke.
Raia: Kwa nini unasema mwanamke ndio ana makosa?
Dereva: Kwanini amekuja barabarani badala ya kuwa joikoni?

No comments:

Post a Comment