Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, October 3, 2010

Kumuona daktari

Jamaa alienda zahanati moja alikuwa anaumwa, akaambiwa kumuona daktari ni shilingi elfu mbili.
Jamaa akadakia na kujibu ''sina hiyo elfu mbili ntafumba macho nsimuone ili insilipe.

No comments:

Post a Comment