Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, January 21, 2011

Beep

Jamaa mmoja alikuwa na mrembo waki-do chumbani, kidogo yule Mrembo akapumua hewa chafu. Jamaa akauliza ''umakunya?''
Mrembo akajibu ''hapana nimekubeep utumie line nyingine maana hii unayotumia sasa betri low''

No comments:

Post a Comment