Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, January 10, 2011

Mtihani

Mwalimu mmoja akiwaambia wanafunzi wake class, ''nyie wanafunzi mmeiba mtihani?'' ndipo mwanafunzi mmoja ananyanyuka na kusema ''mwalimu, hatujaiba mtihani tumeiba majibu''

No comments:

Post a Comment