Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, January 30, 2011

Kicheche

Jamaa mmoja alimpata mdada mmoja wakakubaliana kufanya mapenzi kwenye gari. Ghafla yule dada akamuambia yule kaka ''ooh samahani nilisahau kukuambia mimi najiuza na huwa namchaji mwanaume elfu 10 kwa tendo.

Na yule mwanaume akanena ''ooh hata mi lisahau mimi ni dereva taxi na huwa nacharge elfu 10 kwa abiria aina yako''

No comments:

Post a Comment