Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, January 23, 2011

Duka la dawa

Jamaa aliendauka la madawa kisha akanunua dawa za kuondoa gesi tumboni aina ya magnesium. Alipopatiwa akaomba na maji madogo ndipo nesi akamuuliza "ya nini?".
Jamaa akajibu "si ya kumezea dawa hizi ulizonipa!!"

No comments:

Post a Comment