Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, January 10, 2011

Nyumba ya wageni

Jamaa mmoja aliingia jiji la Dar sasa akawa anatafuta pa kulala ili afanye shughuli zake zilizomleta mjini. Baada ya kuzunguka zana akaamuuliza kijana mmoja ''hivi inakuwaje maana nimezunguka bila mafanikio?''
''yaani nyumba za kulala wageni zote zimejaa wenyeji kwani wamejengewa waoo?''

No comments:

Post a Comment