Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, January 4, 2011

Sikukuu

jamaa mmoja baada ya kutinga bia zake za kutosha siku ya sikuu kuu ya xmas akaenda kituo cha polisi na kunena kama ifuatavyo, ''habari ya saa hizi (akiongea kilevi levi), vyumba vipo?''

Akiendelea kunena ''maana kila nnapopita leo pako full''

No comments:

Post a Comment