Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, January 11, 2011

Vibweka vya housegirl

Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?"
Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

No comments:

Post a Comment