Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 26, 2011

Gesti hausi usalama

Mteja mmoja akiongea na mhudumu wa gesti.
Mteja: Jamani mbona mnaacha mlango wa chumba wazi?
Mhudumu: Hamna atakae kuibia mkuu, ila acha mwanamke watakuibia.

No comments:

Post a Comment