Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, January 19, 2011

Spidi ya gari

Jamaa mmoja alikuja mbio kwa gari akaja akapaki pembezoni mwa marafiki zake, aliposhuka akawa anahema kama ametoka kwenye riadha. Jamaa akamuuliza ''kulikoni unahema hivyo?''

Jamaa akajibu ''we hujaona nilivokua nakuja speed kwa gari?''

No comments:

Post a Comment