Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, May 7, 2011

4x4

Jamaa mmoja ndio mara ya kwanza alinunua gari yenye 4WD wakamuambia inapita popote hii.
Jamaa alipoichukua si akaenda nayo baharini akitaka kupita njia ya mkato...

No comments:

Post a Comment