Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, May 14, 2011

Pombe

Jamaa mmoja alikua bar na mkewe akalewa chakari. Mkewe akawa anamsaidia kumkokota mpaka nyumbani, walipofika housegirl akawafungulia mume akanena ''vyumba vipo au vimejaa?''

No comments:

Post a Comment