Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, May 21, 2011

Ngozi Bibi kizee

Bibi kizee mmoha alienda kuogelea kwenye bwawa maalumu la kuogelea. Alikutana na watoto wadogo na wakiogoelea.

Sasa alipozamia wakati anaibuka akawa anaelea mgongo ukiwa wa kwanza kuonekana, wale watoto walipomuona wanamuita mama yao ''mama... mama... Njoo uone kuna mamba humu kaingia...''

No comments:

Post a Comment