Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, May 19, 2011

Uaminifu

Mume: Mke wangu niambie ukweli hivi ushavunja uaminifu mara ngapi?
Mke: Siku moja nililala na mwenye nyumba sababu alikua anatudai kodi.
Mume: Si mbaya sana.

Mke: Mara ya pili, ulipofanyiwa operation hatukuwa na pesa ikabidi nilale na daktari.
Mume: Kweli unanijali mke wangu.

Mke: Mara ya tatu ni kile kipindi cha uchaguzi ulipokuwa unaomba kura za ubunge ikabidi nitembee na wapiga kura wako wote ili upite ndio maana ukashinda.

No comments:

Post a Comment