Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, May 16, 2011

Mpakistan

Familia moja ya wapakistan ilienda kuishi marekani.
Mtoto wao wakamuanzisha shule. Alipofika shuleni hali ilikua hivi:

Mwalimu: Unaitwa nani?
Mwanafunzi: Ahmad.
Mwalimu: Oh! Hapa marekani kuanzia leo utaitwa George sawa.

Aliporudi home akawasimulia wazazi wake, wakamchapa sana. Aliporudi shule kesho yake ikawa hivi:

Mwalimu: Kulikoni mbona umevimba vimba?
Mwanafunzi: Jana usiku nyumbani nimeshambuliwa na wa-pakistan wawili (wazazi wake).

No comments:

Post a Comment