Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, May 1, 2011

Kwa jirani

Jamaa mmoja alisahau kuvaa pichu kwa sababu ya haraka akiwahi sehemu. Kwa vile alikua mbali na home tayari akaamua apite kwa jirani mbele kidogo.

Akagonga mlango, alipofunguliwa akafungua mwanaume na kumuambia, ''samahani leo nimesahau kuvaa pichu ivo naomba niazime ile ya kwako ya kijivu huwa mkeo ananiazimaga nikiwa nae.''

No comments:

Post a Comment