Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, May 6, 2011

Mchaga na vijimambo

Mchaga mmoja alitumbukia kwenye kisima cha maji akapiga kelele huku akitapa tapa, mkewe akaja na namba mpya akamtupia amuokoe.

Mume akauliza umeinunua sh ngapi?
Mke: nimenunua sh 1,000 tu.
Mume akajibu: Irudishe nenda kwa masawe anauza sh 500 fanya fasta ntazama.

No comments:

Post a Comment