Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, May 9, 2011

Misa ya maziko

Jamaa mmoja alimwomba Padri amfanyie misa ya maziko mbwa wake. Padri akamjibu, Hapana hatufanyi misa hizo labda ujaribu sehemu nyingine. Jamaa akamuuliza sehemu gani wanafanya hizo misa maana nina shs millioni tatu ya sadaka? Padri akadakia "Wewe hukusema mbwa wako alikuwa mkristo ,mlete mlete nintamfanyia misa hamna shida"

No comments:

Post a Comment