Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, May 16, 2011

Kutoa Mahari

Jamaa mmoja alienda kutoa mahari, ulipofika muda muafaka sasa mbele ya wakwe watarajiwa akawauliza, ''je naweza kutoa mahari kwa njia ya M-pesa au tiGo pesa sasa ivi?''

No comments:

Post a Comment