Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, May 16, 2011

Ujanja

Jamaa mmoja alikua anaugonjwa wa kusahau. Kila akiweka password kwenye computer anaisahau, siku moja akaamua kuandika password mpya inaitwa ''incorrect'' baada ya hapo kila akiikosea au kuisahau kompyuta inamkumbusha kwa kuandika ''password you enter in incorrect''

No comments:

Post a Comment