Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, May 18, 2011

Ugeni wa mambo

Mwanamke mmoja alilowa na alikua hajui mapenzi yaani hajawahi kufanya mapenzi kabisa. Siku moja mumewe kabla hajasafiri alimuonyesha naniliu yake na kumuambia ''hii naniliu yangu inaitwa popoo, ninayo mimi tu sawa enhe''

Mume aliporudi toka safarini mke akanena ''mume wangu mbona Issa nae anayo popoo na we ulisema unayo wewe tu peke yako?''

Mume akajibu; ''ooh nilisahau kukuambia nilikua nazo mbili ingine mempatia Issa''
Mke akanena na yeye ''sa mbona Issa umempa kubwa na tamu we umejibakizia ndogo kama penseli?''

No comments:

Post a Comment