Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, May 2, 2011

Changudoa

Siku televisheni kadhaa zilipotangaza kuuwawa kwa Osama, changudoa mmoja akasikika akisema ''mmh! Jamaani sa ntapata wapi buzi kama lile nipate mafuta ya bure kwenye gari yangu?''

No comments:

Post a Comment