Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, October 17, 2011

Aliuliza jamaa

Jamaa mmoja alitoa ya moyoni kama ifuatavyo:
"nimepanda ndege, basi, pikipiki, helikopta, treni na boti. Bado kitu kimoja tu "ungo" je mnapaki wapi nijue naanzia wapi?"

No comments:

Post a Comment