Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 29, 2011

Mnyalukolo

Jamaa kwenye daladala pembeni kuma dada alianza kwa kumsalimia halafu akamuuliza "Samahani dada unaitwa google?" Dada akamjibu "hapana, n kwanini umedhani naitwa
hivyo?" Jamaa akamjibu "maana una kila kitu nnachokitafuta"

No comments:

Post a Comment