Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, October 24, 2011

Simu hospitalini

Ilipigwa simu hospitalini ilipopokelewa "halo hapo ni kk hospitali?" Akajibiwa ndio. Kisha yakaendelea "ooh sasa nilitaka kujua hali ya mgonjwa chumba namba 80."

Nesi akijibu "oh yule mgonjwa yupo anaendelea vizuri, bp imeshuka na sukari pia unatengemaa vyema mpaka sasa. Kwani wewe ni nani mwwnzangu?"

Toka kwenye simu ikajibiwa "mimi mgonjwa chumba namba 80 nikiuliza maana hamna alieniambia hivyo."

No comments:

Post a Comment