Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 8, 2011

Toto hili?

Mama unajua housgel wetu ni malaika? Mama: Kwanini wasema hivyo?
Mtoto: Jana nilimuona ameshikilia ukuta akiwa uchi na mikono ameinua juu anaongea na Yesu akisema ooh! Yesu wangu nakuja... oooh! Yesu wangu nakuja jaman! yaan isingekuwa baba kumshikilia kwa nyuma naye akiwa uchi, saa hizi dada angekuwa mbinguni!

No comments:

Post a Comment