Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 29, 2011

Babu huyoo

Babu alifanyiwa opereshen ya kusafishwa
korodani na kuanikwa bahati mbaya yaliliwa
na paka dokta akaamua kumbandika viazi ili
asifukuzwe kazi baada ya mwezi dokta
alimuuliza mgonjwa wake vp mzee khali
yako? BABU."ah sijambo najiskia vizuri ila
kuna tatizo jengine" DOKTA" tatizo gani?"
BABU naona badala ya kuota nywele za huku naota
matembele."

No comments:

Post a Comment