Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 22, 2011

Mayai kwa mtoto

Katoto kamoja kaliulizwa na baba ake,"mwanangu sasa mbona hujala mkate na mayai?" Kale katoto kakajibu "sa takulaje mayai wakati hayajachinjwa kuku walio ndani yake?"

No comments:

Post a Comment