Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, October 17, 2011

Kuibiwa baiskeli

Jamaa alienda Tanga akaibiwa baiskeli, kuulizia hakuipata. Basi akanena "inshallah ntafanya kama alivyofanys babu"

Vijana waliposikia wakamrudishia na kumuuliza "babu yako alifanya nini?" Jamaa akajibu "alishukuru Mungu akanunua ingine"

No comments:

Post a Comment