Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, October 14, 2011

Vijana na mabishano

Kulikua na vijana watatu, wa kwanz akaangusha saa yake toka ghorofa moja hadi chini ikabomoka, wa pili na e ivo ivo. Aliporusha wa tatu haikubomoka wakamuuliza "imekuwaje?" Jamaa akawajibu "saa yangu iko nyuma dakika 5"

No comments:

Post a Comment