Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, October 8, 2011

Kasuku anauzwa

Jamaa: Nauza huyu kasuku na anaongea.
Mteja: Sidhani kama anaongea mhh!
Punde kasuku akaanza kuongea kwa masikitiko "tafadhali ninunue, huyu hanipagi chakula, hanitoi nje kwenye hewa, hanipi nachohitaji"

Mteja: Sa why unamuuza wakati na kuongea anajua?
Muuzaji: Nimemchoka na tabia yake ya uongo.

No comments:

Post a Comment