Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, October 24, 2011

Choo cha mbwa

Mtoto mmoja alimuuliza baba ake "baba yule jirani yetu kwa nini anatumia choo kimoja na mbwa wake?" Baba ake akamuuliza "kivipi mwanangu sijakuelewa?" Mtoto akaiju "namuonaga akienda kukojoa pale kwenye ule mti kila siku na mbwa pia hapo hapo."

No comments:

Post a Comment