Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, October 2, 2011

Maasai

Mmasai aliingia mjini na PUNDA wake, kufika town akashangaa magari yanavyo toka kasi, akaamua kumuuliza jamaa mmoja... Mmasai: "Aisee rafiki, kwanini hisi gari nakwenda mbio sana?!" Jamaai: "Gari zinatumia Petrol/Diesel ndio maana zinakwenda sana..." Kesho yake jamaa akaenda SHELI na punda wake, kufika akamnyanyua PUNDA mkia. Akaomba Punda wake atiwe lita 5 za Petrol.... Baada ya dakika chache petrol si ikaanza kumuwasha yule Punda, akatoka mbio akaingia mitini.... Mmmasai akamfukuza, wapi hakumpata... Daaah, yero akaamua karudi Sheli, akafungua mkanda, akavua shuka lake, akainama. Akamwambia muuza mafuta, "Weka lita 10, 5 diseli, 5 petroli.... si nataka masindano na mimi, lazima onesa yeye nani saidi leo...."

No comments:

Post a Comment