Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, October 25, 2011

Mkulima mmoja alifungua akaunti sasa alipopata kadi akaenda ATM alipocheki balance akazimia. Siku ya pili tena akazimia, ya tatu akapata wa kumsomea salio kumbe mkulima akiona namba ya akaunti ndio akidhani fedha.

No comments:

Post a Comment